Deuteronomy 2:37

37 aLakini kulingana na amri ya Bwana Mwenyezi Mungu wetu, hamkujiingiza katika nchi yoyote ya Waamoni, wala katika sehemu yoyote iliyo kandokando ya Mto Yaboki, wala katika miji iliyoko katika vilima.
Copyright information for SwhKC